BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE/ AINA ZA BAWASILI / STAGE ZA BAWASILI

BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE
        Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

MGONJWA WA BAWASILI


Kuna Aina mbili {2} Za Bawasiri.

1.Bawasiri ya ndani- Bawasiri hii hutokea ndani ya tundu la haja kubwa 

2.Bawasiri ya Nje-Bawasiri hii hutokea eneo la nje ya Tundu la haja kubwa

 CHANZO CHA BAWASIRI
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe Kupita kiasi
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito



 DALILI ZA BAWASIRI
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu na maumivu

Maoni