KAMA WEWE HUPATI UJAUZITO BASI NAOMBA KABLA YA YOTE NINA MASWALI KADHAA YA KUKUULIZA.

 KAMA WEWE  HUPATI UJAUZITO BASI NAOMBA KABLA  YA YOTE NINA MASWALI  KADHAA YA  KUKUULIZA.

Nayo ni; 

🪀.Je, mzunguko wa siku zako upo sawa, yaani haubadilikibadiliki?

🪀.Je, ulishawahi kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango?

🪀.Je unapata maumivu yoyote ya tumbo chini ya kitovu?

🪀.Je unasumbuliwa na P.I.D au U.T.I?

🪀.Je unapata maumivu ya mgongo au kiuno au nyonga?

🪀.Je unapata maumivu ya tumbo wakati unakaribia kuingia period?

🪀.Je, unakosa ute ute sehemu za siri wakati wa tendo la ndoa?

🪀.Je, unapata mauimvu makali wakati wa tendo la ndoa au kutokwa damu baada ya tendo?

🪀.Je unakosa hamu ya tendo la ndoa?

🪀.Je unatatizo la mirija ya kuziba?

🪀.Je, una uvimbe kwenye kizazi kwakujua au kutokujua?

🪀.Je ulishawah kutoa mimba ambayo haikutolewa katika namna salama?


KAMA  JIBU MOJA YA MASWALI HAPO JUU NI NDIYO BASI NDICHO KIZUIZI CHA WEWE  KUPATA UJAUZITO

Chukua hatua.

Maoni