HEDHI SALAMA NI HAKI YA KILA MWANAMKE

HEDHI SALAMA NI HAKI YA KILA MWANAMKE

 Nini maana  ya hedhi salama? 

⛱️Hedhi isiyo na miwasho. 

⛱️Hedhi bila fungus.

⛱️Hedhi bila maumivu.

⛱️Hedhi bila kutokwa damu nyingi.

⛱️ Hedhi ambayo inakuwa comfortable.

⛱️Hedhi yenye mpangilio.


 NI HEDHI Isiyokuwa na BUGHUDHA , KERO, Wala MAUMIVU

 Je , Ntaipataje?

 Hii Itategemea ' Je Anaenda Hedhi  kwa siku ngapi unazoona Hedhi haswa na si matone?.

 ๐Ÿ›️Kwa mfano : Mzunguko ni kama huo wa 28 , 30 na 35/37~40 Unaweza Kuwa Mfupi au Wa Kawaida na Unaweza Kuwa Mrefu Zaidi .

๐Ÿ›️Na Kama akianza  tare 10 ~13 siku nne baada ya hapo anaweza ongeza siku 2 ili kizazi kifunge Kabisa ... zinakuwa siku 6 Mwanamke amepumzika mzungukoni.

๐Ÿ›️Sasa baada ya hapo anaanza kuhesabu tena siku 5 hizi anakuwa free... alafu siku 9 zinazofata hizi zinakuwa za hatari na ktk hizi siku 9 unaweza jiongezea siku 2 tena au 3 za kujihakikishia usalama zaidi... 

๐Ÿ›️Alafu zifuatazo ni free Mpaka aingie Kwenye *HEDHI* Nyingine  na mzunguko huu tunauita KALENDA unaweza ukafanya kazi Vizuri Sana iwapo Mwanamke Yuko makini Yeye na Mwenzi Wake.

๐Ÿ›️Na Ikitokea kama ameharibu na Utaratibu , Hapo anakuwa Kwenye Uwezekano Mkubwa wa Kushika Mimba Isiyotarajiwa. .

๐Ÿ›️Ukitengeneza kalenda kwa kufata nilivyokueleza utagundua kuwa ktk siku zisizo za hedhi yaani ile siku uliyoanza kuhesabu baada ya hedhi pana siku 8 salama na siku 9 za hatari na ukijumlisha unapata nusu ya mzunguko wako wa 34/35. Kingine ni kuwa kwa mzunguko huu mrefu hata siku ya 8 baada ya hedhi unaweza shika mimba. 


CHANZO CHA TATIZO LA MVURUGIKO WA HEDHI

 ⛱️Mtu kupata hofu , Furaha au woga na mabadiliko ya kisakolojia. 

⛱️Uwepo wa uvimbe kwenye kizazi.

⛱️Matatizo katika mfumo wa homoni.

⛱️Matatizo katika vifuko vya mayai na tabaka la ndani la kizazi ni moja wapo ya chanzo cha tatizo hili.

⛱️Kuharibika kwa mimba Zisizo Julikana huchangia tatizo hili ambapo unapata damu bila mpangilio na maumivu makali. - Maambukizi sugu ya kizazi ni moja wapo ya sababu. 


Dalili ya maambukizi sugu ya kizazi ni

⛱️ Maumivu ya TUMBO CHINI YA KITOVU mara kwa mara ambapo kila Ukipima Unaambiwa unaumwa U.T.I kumbe hauumwi U . T . I Bali ni Vaginal Infection , Haya ni Maambukizi Kwenye Kizazi.

Kwa changamoto mbalimbali za uzazi wasiliana nasi.

Maoni