DALILI ZA P.I.D
kishakutana na tatizo hili Mara nyingi
š„Hupoteza hamu ya tendo la ndoa
š„Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
š„Kupata maumivu ya mgongo
š„Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri wenye harufu mbaya na miwasho
š„Utoko huu huambatana na harufu mbaya.
š„Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
š„Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa ni maumv makali sana na yana umiza sana
š„Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi na hedhi kuto eleweka
š„Kupata homa
š„Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na Pia kutapika
Maoni