JEUNASUMBULIWA NA MATATIZO YA MIFUPA IKIWEPO MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI (OSTEOPOROSIS)
Ni ugonjwa ambao husababishwa na maambukizo ya bacteria katika mfupa na misuli inayozunguka mfupa bacteria hao ni (staphylococci).
Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea ktk uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma Mara kwa Mara), MAGOTI kuuma,nyonga na kifuani.
SABABU ZINAZOSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OETEOPOROSIS)
- Magonjwa ya figo.
- Upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye` (MENOPAUSE) kikomo cha hedhi
- Upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
- ANOREXIA uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoez`` kupita kiasi.
KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA.(OSTEOPOROSIS)
- Epuka matibabu yeye kutumia kemikali
- Zingatia rishe bora haaa utotoni pia pendelea kula vyakula vya asili vyenye madini yakutosha yanayoimarisha MIFUPA
- Acha au punguza matumizi ya pombe
- Fanya mazoez ya kutosha na kunywa maji ya kutosha
ATHARI ZINAZOSABABISHWA NA TATIZO HILI
- Mifupa kuvunjika kwa urahisi.
- kupinda mgongo wakati wa uzeeni
- Maumivu makali ya Mifupa hasa ktk uti wa mgongo,mabegani,kifuani na ktk nyonga
MATIBABU YA OSTEOPOROSIS
- kula kwa wingi vyakula vya vitamini D na vyenye madini ya calcium kama` maziwa ubuyu,n.k
Maoni