DALILI ZA KUJUA NGUVU ZA KIUME ZIMEPUNGUA

Dalili za nguvu za kiume kupungua kikawaida 

Hii sio kwa walio jichua ni kwa wale walio jikuta zime pungua 

Kitaalam Asili ya nguvu za kiume huwa azipungui kwa sababu nguvu sio kiumbe Ila NI asili iliopo katika mishipa au mwili wa mwana adam 

Na Mara nyingi nguvu upungua kwa kutanuka misuli kupita kiwango Cha ukomo wake au kuregea katika shina au vyanzo vya mishipa

Kuna aina mbili mishipa au misuli ipo ya aina nyingi na kazi tofauti Ila Leo tuanganzie misuli au mishipa ya uume 

Mishipa ya uume Mara nyingi utanuka kutoka na presha au mizunguko ya damu kua juu kupita kiasi 

Na usinya kutokana na mizunguko wa damu kua chini kupita kiasi kisukari pia uchangia 

Ila leo tuangazie misuli kutanuka au kuregea yenyewe bila kua na maradhi ya aina yoyote Wala Kama Usha wai jichua 








DALILI YA KUJUA KAMA NGUVU ZIMEPUNGUA BILA MARADHI 


Ni pale unapo kwenda haja kubwa kujisaidia na ukaanza kukojoa hili ni tatizo kubwa ambalo uashiria nguvu zako zina pungua au zimepungua

Na watu wa aina hii Mara nyingi uume wao huwa hausimami ata akiwa amebanwa na mkojo na akisimama mkojo huwa hauruki 


TIBA YA KUPUNGUKIWA KWA NGUVU ZA KIUME

Tiba ni nyepesi na rahisi mnoo Tena wajitibu bila dawa 

Utakua una ifanyisha zoezi fimbo yako kila itapo simama kwa kuipeleka juu chini juu chini kila itapo kua ikisimama hii itafanya iwe ngumu na kurudisha heshima 

Ukumbuke kua zoezi Hilo utalifanya bila kuishika uitumie yenyewe kuipeleka juu chini juu chini 

Itakufanya uweke heshima katika ndoa na endapo ukadumu kuifanya kwa muda mrefu itakufanya bao la kwanza ukalipa ndani ya lisaa au masaa

Pia Tunazo dawa kwa walio jichua na punyeto presha kisukari n k ili kuresha heshma ya nyumba kama utahitaji utawasiliana nasi na utapata dawa zako kwa wakati sahihi popote ulipo.


AZMOH HERBAL

Maoni